sw_num_text_reg/04/29.txt

1 line
229 B
Plaintext

\v 29 Utawahesabu uzao wa Merari kwa koo zao, na uwapange katika familia za mabau zao, \v 30 kuanzia wenye umri wa miaka thelatini hadi miaka hamsini. Umuhesabu kila atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania.