sw_num_text_reg/04/21.txt

1 line
279 B
Plaintext

\v 21 BWANA akanena na Musa tena, Akasema, "Fanya sensa kwa wana Gerishoni pia, kwa kufuata familia za mababu zao, koo zao. \v 22 Uwahesabu wale wenye umri wa mika thelathini hadi miaka hamsini. \v 23 Uwahesabu wote ili waje kuungana na wale wanaotumika katika hema ya kukutania.