sw_num_text_reg/02/12.txt

1 line
155 B
Plaintext

\v 12 Simeoni atapanga mbele ya Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Zurishadai. \v 13 Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.