sw_num_text_reg/34/16.txt

1 line
233 B
Plaintext

\v 16 BWANA akanena na Musa akasema, \v 17 "Haya ndiyo majina ya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni. \v 18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.