|
\v 8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi. \v 9 Walienda mpaka kwenye bonde la Esko waliona ile ardhi kisha wakawafunja moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa. |