\v 40 Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia. \v 41 Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.