diff --git a/19/14.txt b/19/14.txt index 22df0dd..81986a1 100644 --- a/19/14.txt +++ b/19/14.txt @@ -1 +1 @@ -\v 14 Hii ndiyo sheri ya mtu anayefia hemani. Kila mtu aingiaye hemani na kila mtu ambaye tayari yumo hemani atakuwa najisi kwa siku saba. \v 15 Kila chombo ambacho hakina kifuniko kinanajisika. \v 16 Vivyo hivyo, kwa mtu aliye nje ya hema ambaye atamgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga wowote, au mfupa wa mtu, au kaburi--mtu huyo atakuwa najisi kwa siku saba. \ No newline at end of file +\v 14 Hii ndiyo sheria ya mtu anayefia hemani. Kila mtu aingiaye hemani na kila mtu ambaye tayari yumo hemani atakuwa najisi kwa siku saba. \v 15 Kila chombo ambacho hakina kifuniko kinanajisika. \v 16 Vivyo hivyo, kwa mtu aliye nje ya hema ambaye atamgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga wowote, au mfupa wa mtu, au kaburi--mtu huyo atakuwa najisi kwa siku saba. \ No newline at end of file diff --git a/19/17.txt b/19/17.txt index 0f1e561..0e57a19 100644 --- a/19/17.txt +++ b/19/17.txt @@ -1 +1 @@ -\v 17 Fanyeni hivi kwa mtu najisi: twaeni majivu ya sadaka ya dhaambi ya kuteketezwa na myacahanganye kwenye chombo chenye maji ya mto. \v 18 Ndipo mtu aliye safi atachukua hisopo, na kutia katika hayo maji, na kunyunyizia juu ya hema, na katika vyombo vyote vilivyo hemani, na kwa watu waliokuwepo, na kwa yule aliyegusa ule mfupa, mtu aliyeuawa, maiti, au kaburi. \v 19 Katika siku ya tatu na siku ya saba, yule mtu aliye msafi atamnyunyizia yule mtu asiyekuwa safi. Katika siku ya saba mtu najisi atajitakasa mwenyewe. Atazifua nguo zake na kuoga kwenye maji. Jioni yake atakuwa safi. \ No newline at end of file +\v 17 Fanyeni hivi kwa mtu najisi: twaeni majivu ya sadaka ya dhaambi ya kuteketezwa na myachanganye kwenye chombo chenye maji ya mto. \v 18 Ndipo mtu aliye safi atachukua hisopo, na kutia katika hayo maji, na kunyunyizia juu ya hema, na katika vyombo vyote vilivyo hemani, na kwa watu waliokuwepo, na kwa yule aliyegusa ule mfupa, mtu aliyeuawa, maiti, au kaburi. \v 19 Katika siku ya tatu na siku ya saba, yule mtu aliye msafi atamnyunyizia yule mtu asiyekuwa safi. Katika siku ya saba mtu najisi atajitakasa mwenyewe. Atazifua nguo zake na kuoga kwenye maji. Jioni yake atakuwa safi. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 3065d51..41840e9 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -344,6 +344,7 @@ "19-03", "19-07", "19-09", - "19-11" + "19-11", + "19-14" ] } \ No newline at end of file