Tue Jul 19 2022 09:18:03 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
82fa4e3cdd
commit
99cf59dfb3
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 30 Kwa hivyo utawaambia, 'Mnapotoa hayo matoleo mazuri, ndipo itahesabika kwa Walawi kuwa ni mazao yao kutoka kwenye sakafu za kupuria na vinu vyao vya kukamulia. \v 31 Ndipo matakapokula nafaka zote zinazobaki mahali popote, ninyi na familia zenu kwa sababu ndiyo malipo yenu ya kazi kwenye hema ya kukutania. \v 32 Hamtakuwa na hatia yeyote kwa kuvila na kuvinywa, kama mtatoa kwa BWANA matoleo yenu mazuri mliyopokea. Lakini msizinajisi sadaka takatifu za wana wa Israeli, vinginevyo mtakufa.,"
|
||||
\v 30 Kwa hivyo utawaambia, 'Mnapotoa hayo matoleo mazuri, ndipo itahesabika kwa Walawi kuwa ni mazao yao kutoka kwenye sakafu za kupuria na vinu vyao vya kukamulia. \v 31 Ndipo matakapokula nafaka zote zinazobaki mahali popote, ninyi na familia zenu kwa sababu ndiyo malipo yenu ya kazi kwenye hema ya kukutania. \v 32 Hamtakuwa na hatia yeyote kwa kuvila na kuvinywa, kama mtatoa kwa BWANA matoleo yenu mazuri mliyopokea. Lakini msizinajisi sadaka takatifu za wana wa Israeli, la sivyo mtakufa.,"
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 1 BWANA akanena na Musa na Haruni, Akasema, \v 2 "Hii ni amri, ni sheria ninayokuamuru: Waambie wana waIsraeli wakuletee ng'ombe mke mwekundu asiyekuwa na kipaku wala waa, ambaye hajawahi kubeba nira.
|
||||
\c 19 \v 1 BWANA akanena na Musa na Haroni, Akasema, \v 2 "Hii ni amri, ni sheria ninayokuamuru: Waambie wana waIsraeli wakuletee ng'ombe mke mwekundu asiyekuwa na kipaku wala waa, ambaye hajawahi kubeba nira.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 19
|
|
@ -337,6 +337,8 @@
|
|||
"18-21",
|
||||
"18-23",
|
||||
"18-25",
|
||||
"18-28"
|
||||
"18-28",
|
||||
"18-30",
|
||||
"19-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue