diff --git a/20/10.txt b/20/10.txt index d13cab7..49f5100 100644 --- a/20/10.txt +++ b/20/10.txt @@ -1 +1 @@ -\v 10 Kisha Musa na Haruni wakawakusanya watu pamoja mbele ya ule mwamba. Ndipo Musa akawaambia, "Sasa sikilizeni, enyi wapinzani. Lazima tuwape maji kutoka kwenye huu mwamba?" \v 11 Ndipo Musa akanyosha mkono wake na kuupiga ule mwamba mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakatoka. Wale watu wakanywa pamoja na wanyama wao. \ No newline at end of file +\v 10 Kisha Musa na Haroni wakawakusanya watu pamoja mbele ya ule mwamba. Ndipo Musa akawaambia, "Sasa sikilizeni, enyi wapinzani. Lazima tuwape maji kutoka kwenye huu mwamba?" \v 11 Ndipo Musa akanyosha mkono wake na kuupiga ule mwamba mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakatoka. Wale watu wakanywa pamoja na wanyama wao. \ No newline at end of file diff --git a/20/12.txt b/20/12.txt index f84b28f..9c9b94c 100644 --- a/20/12.txt +++ b/20/12.txt @@ -1 +1 @@ -\v 12 Kisha BWANA akamwambia Musa na Haruni, "Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya watu wa Israeli, hamtawaingiza hawa watu katika nchi niliyowaahidi. \v 13 Mahali hapa paliitwa maji ya Meriba kwa sababu wana wa Israeli walitofautiana na BWANA pale, na akajionyesha kwao kuwa mtakatifu. \ No newline at end of file +\v 12 Kisha BWANA akamwambia Musa na Haroni, "Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya watu wa Israeli, hamtawaingiza hawa watu katika nchi niliyowaahidi. \v 13 Mahali hapa paliitwa maji ya Meriba kwa sababu wana wa Israeli walitofautiana na BWANA pale, na akajionyesha kwao kuwa mtakatifu. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 063f66f..f5196fb 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -352,6 +352,9 @@ "20-01", "20-02", "20-04", - "20-06" + "20-06", + "20-07", + "20-10", + "20-12" ] } \ No newline at end of file