sw_num_text_reg/16/33.txt

1 line
387 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 33 Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. \v 34 Nao Israeli wote waliokuwa karibu nao wakakimbia kwa sababu ya vilio vyao. Walisema kwa mshangao, "Nchi isije kutumeza na sisi!" \v 35 Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA na kuwaangamiza wale wanaume 250 waliokuwa wametoa ubani.