sw_neh_text_reg/06/08.txt

1 line
287 B
Plaintext

\v 8 Kisha nikamtuma neno nikisema, "mambo kama hayo hayajafanyika kama unavyosema, kwa maana ndani ya moyo wako umeyabuni." \v 9 Kwa maana wote walitaka kututisha, wakifikiri, "Wataacha mikono yao kufanya kazi hiyo, na haitafanyika." Lakini sasa, Mungu, tafadhali imarisha mikono yangu.