sw_neh_text_reg/06/03.txt

1 line
221 B
Plaintext

\v 3 Niliwatuma wajumbe kwao, nikasema, "Ninafanya kazi kubwa na siwezi kushuka. Kwa nini kazi isimame wakati nitakapoondoka na kuja kwako?" \v 4 Walituma ujumbe huo huo mara nne, na mimi niliwajibu vile vile kila wakati.