sw_neh_text_reg/04/19.txt

1 line
241 B
Plaintext

\v 19 Niliwaambia wakuu na viongozi na watu wengine, "Kazi ni nzuri na ya kina, na tumejitenga kwenye ukuta, mbali na mtu mwingine. \v 20 Lazima mkimbilie mahali ambapo mtasikia sauti ya tarumbeta na kusanyika huko. Mungu wetu atatupigania."