sw_neh_text_reg/04/10.txt

1 line
243 B
Plaintext

\v 10 Kisha watu wa Yuda wakasema, "Nguvu ya wale wanaobeba mizigo inashindwa. Kuna kifusi kikubwa, na hatuwezi kujenga ukuta." \v 11 Na adui zetu wakasema," Wala hawatajua au kuona mpaka tutakapokuja kati yao na kuwaua, na kuisimamisha kazi."