1 line
322 B
Plaintext
1 line
322 B
Plaintext
\v 10 Lakini No-amoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima, na wakuu wake wote walifungwa minyororo. \v 11 Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta kimbilio kutoka kwa adui yako. |