sw_mrk_text_ulb/09/49.txt

1 line
211 B
Plaintext

\v 49 Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto. \v 50 Chumvi ni nzuri, kama chumvi ikipoteza ladha yake, utaifanyaje iwe na ladha yake tena? Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe, na muwe na amani kwa kila mmoja."