sw_mrk_text_ulb/09/28.txt

1 line
165 B
Plaintext

\v 28 Wakati Yesu alipoingia ndani, wanafunzi wake walimwuliza faragha, "Kwa nini hatukuweza kumtoa?" \v 29 Aliwaambia, " kwa namna hii hatoki isipokuwa kwa maombi."