sw_mrk_text_ulb/09/26.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 26 Alilia kwa nguvu na kumhangaisha mtoto na roho alimtoka. Mtoto alionekana kama amekufa, Ndipo wengi walisema, "Amekufa," \v 27 Lakini Yesu alimchukua kwa mkono akamwinua, na mtoto alisimama.