\v 5 Akawauliza, "mna vipande vingapi vya mikate?" Wakasema, "Saba". \v 6 Aliuamuru umati ukae chini. Akachukua mikate saba, akamshukuru Mungu, na kuivunja. Akawapa wanafunzi wake waiweke mbele yao, nao wakaiweka mbele ya umati.