sw_mrk_text_ulb/06/37.txt

1 line
271 B
Plaintext

\v 37 Lakini akawajibu akisema, "Wapeni ninyi chakula." Wakamwambia, "Tunaweza kwenda na kununua mikate yenye thamani ya dinari mia mbili na kuwapa wale?" \v 38 Akawambia," Mna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie." walipopata wakamwambia, "Mikate mitano na samaki wawili."