sw_mrk_text_ulb/06/18.txt

1 line
340 B
Plaintext

\v 18 Kwa maana Yohana alimwambia Herode, "Si halali kumuoa mke wa kaka yako." \v 19 Lakini Herodia alianza kumchukia na alikuwa akitaka kumuua, lakini hakuweza, \v 20 maana Herode alimwogopa Yohana; alijua kwamba ni mwenye haki mtu mtakatifu, na alimwacha salama. Na alipoendelea kumsikiliza alihuzunika sana, lakini alifurahi kumsikiliza.