sw_mrk_text_ulb/01/38.txt

1 line
230 B
Plaintext

\v 38 Aliwaambia, "Tunapaswa kwenda mahali pengine, nje katika miji inayozunguka, ili niweze kuhubiri huko pia. Ndiyo sababu nilikuja hapa." \v 39 Alikwenda akipita Galilaya yote, akihubiri katika masinagogi yao na kukemea mapepo.