sw_mrk_text_ulb/05/33.txt

1 line
249 B
Plaintext

\v 33 Mwanamke, akijua kilichotokea kwake, aliogopa na kutetemeka. Alikuja na alianguka chini mbele yake na kumwambia ukweli wote. \v 34 Alisema kwake, "Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa amani na uponywe kutoka kwenye ugonjwa wako."