sw_mrk_text_ulb/05/03.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 3 Mtu huyu aliishi makaburini. Hakuna aliyeweza kumzuia. \v 4 Alikuwa amefungwa muda mwingi kwa pingu na minyororo. Aliikata minyororo na pingu zake alizivunja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na nguvu za kumshinda.