sw_mrk_text_ulb/05/16.txt

1 line
183 B
Plaintext

\v 16 Wale waliokuwa wameona kilichotokea kwa mtu aliyekuwa amepagawa na pepo waliwaambia kilichotokea kwake na pia kuhusu nguruwe. \v 17 Nao walianza kumsihi aondoke katika mkoa wao.