sw_mrk_text_ulb/05/09.txt

1 line
155 B
Plaintext

\v 9 Naye alimwuliza, "Jina lako ni nani?" Naye alimjibu, "Jina langu ni Legion, kwa kuwa tuko wengi." \v 10 Alimsihi tena na tena asiwapeleke nje ya mkoa.