sw_mrk_text_ulb/05/05.txt

1 line
173 B
Plaintext

\v 5 Usiku na mchana akiwa makaburini na milimani, alilia na kujikata yeye mwenyewe kwa mawe makali. \v 6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alikimbilia kwake na kuinama mbele yake.