sw_mrk_text_ulb/03/01.txt

1 line
198 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Tena Yesu aliingia ndani ya sinagogi na palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza. \v 2 Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili wamshitaki.