sw_mrk_text_ulb/11/22.txt

1 line
262 B
Plaintext

\v 22 Yesu akawajibu, "Muwe na imani katika Mungu. \v 23 Amini nawaambia kwamba kila auambiaye mlima huu, 'Ondoka, na ukajitupe mwenyewe baharini, 'na kama hana mashaka moyoni mwake lakini anaamini kwamba alichokisema kitatokea, hivyo ndivyo Mungu atakavyofanya.