sw_mrk_text_ulb/05/16.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 16 Wale waliokuwa wameshudia kilichotokea kwa mtu aliyekuwa akipagawa na mapepo waliwaambia jinsi alivyo ponywa na pia kuhusu nguruwe. \v 17 Nao walianza kumfukuza Yesu aondoke katika mkoa wao.