diff --git a/07/33.txt b/07/33.txt index 2ca922e..053ed80 100644 --- a/07/33.txt +++ b/07/33.txt @@ -1 +1 @@ -\v 33 Yesu alimtoa mtu huyu nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake. \v 34 Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, "Efata," hiyo ni kusema "funguka!" \v 35 Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri. \ No newline at end of file +\v 33 Yesu alimtoa mtu huyu nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wa yule mtu. \v 34 Yesu alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, "Efata," hiyo ni kusema "funguka!" \v 35 Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri. \ No newline at end of file