Mon Apr 18 2022 13:51:33 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
4301448fa8
commit
95c1efe778
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 4 Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa mlangoni nje ya njia kuu nao wakamfungua. \v 5 Na baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale na wakawaambia, "Mnafanya nini, kumfungua mwanapunda huyo?" \v 6 Waliwaambia kama Yesu alivyowaambia, na watu wakawaacha waende.
|
||||
\v 4 Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa mlangoni nje ya njia kuu nao wakamfungua. \v 5 Na baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale wakawaambia, "Mnafanya nini, kumfungua mwana-punda huyo?" \v 6 Wakawaambia kama Yesu alivyowaambia, na watu wakawaacha waende.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 7 Wanafunzi wawili walimleta mwanapunda kwa Yesu na walitandika mavazi yao juu yake ili Yesu aweze kumpanda. \v 8 Watu wengi wakatandika mavazi yao barabarani, na wengine wakatandika matawi waliyoyakata kutoka mashambani. \v 9 Wale waliokwenda mbele yake na wale waliomfuata walipiga kelele, "Hosana! Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana. \v 10 Ubarikiwe ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi! Hosana kwa aliye juu"
|
||||
\v 7 Wakamleta mwana-punda kwa Yesu na wakatandika mavazi yao juu yake ili Yesu aweze kumpanda. \v 8 Watu wengi wakatandika mavazi yao barabarani, na wengine wakatandika matawi waliyoyakata kutoka mashambani. \v 9 Wale waliokwenda mbele yake na wale waliomfuata walipiga kelele, "Hosana! Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana. \v 10 Ubarikiwe ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi! Hosana kwa aliye juu"
|
|
@ -91,6 +91,7 @@
|
|||
"10-46",
|
||||
"10-49",
|
||||
"10-51",
|
||||
"11-01"
|
||||
"11-01",
|
||||
"11-04"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue