Mon Apr 18 2022 13:37:33 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
bb7382e542
commit
1e12c91e18
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 1 Wakati huo walipokuja Yerusalemu, walipokaribia Besthfage na Bethania, katika Mlima wa Mizeituni, Yesu aliwatuma wawili miongoni mwa wanafunzi wake \v 2 na aliwaambia, "Nendeni katika kijiji kinachokabiliana nasi. Mara mtakapoingia humo, mtamkuta mwanapunda ambaye hajapandwa. Mfungueni na mmlete kwangu. \v 3 Na kama yeyote akiwaambia, 'Kwa nini mnafanya hivi'?, mnapaswa kusema, 'Bwana anamhitaji na mara atamrudisha hapa'."
|
||||
\c 11 \v 1 Sasa walipokuja Yerusalemu, walipokaribia Bethfage na Bethania, katika Mlima wa Mizeituni, Yesu akawatuma wawili miongoni mwa wanafunzi wake \v 2 na aliwaambia, "Nendeni katika kijiji kinachokabiliana nasi. Mara mtakapoingia humo, mtamkuta mwanapunda ambaye hajapandwa. Mfungueni na mmlete kwangu. \v 3 Na kama yeyote akiwaambia, 'Kwa nini mnafanya hivi'?, mnapaswa kusema, 'Bwana anamhitaji na mara atamrudisha hapa'."
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
Sura
|
||||
Sura 11
|
Loading…
Reference in New Issue