sw_luk_text_ulb/03/12.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 12 Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, "Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini? \v 13 Akawaambia, "Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya."