sw_lev_text_reg/08/18.txt

1 line
226 B
Plaintext

\v 18 Musa akamleta yule konndoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo kondoo. \v 19 Musa akamchinja kondoo na kuinyunyizia damu yake kila upande wa madhabahu.