diff --git a/13/53.txt b/13/53.txt index b5cac2c..476f2a0 100644 --- a/13/53.txt +++ b/13/53.txt @@ -1 +1 @@ -\v 53 Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa na kuona kwamba ukungu haujaenea kwenye vazi au chombo kilichosukwa au kusokotwa kutokana na sufu, kitani au ngozi, \v 54 basi atawaagiza wakisafishe hicho kifaa kilichopatikana na ukungu, naye yampasa kukitenga kwa siku saba zaidi. \v 55 Kisha kuhani atakichunguza tena hicho kifaa chenye ukungu baada ya kuwa kimesafinshwa. Kama ukungu haukubadilika rangi yake, hata kama haukusambaa, kifaa hicho ni najisi. Yapasa kichomwe, haijalishi ni wapi ukungu huo utakuwa umekichafua. \ No newline at end of file +\v 53 Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa na kuona kwamba ukungu haujaenea kwenye vazi au chombo kilichosukwa au kusokotwa kutokana na sufu, kitani au ngozi, \v 54 basi atawaagiza wakisafishe hicho kifaa kilichopatikana na ukungu, naye yampasa kukitenga kwa siku saba zaidi. \v 55 Kisha kuhani atakichunguza tena hicho kifaa chenye ukungu baada ya kuwa kimesafishwa. Kama ukungu haukubadilika rangi yake, hata kama haukusambaa, kifaa hicho ni najisi. Yapasa kichomwe, haijalishi ni wapi ukungu huo utakuwa umekichafua. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index cd80553..1f12edf 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -200,6 +200,7 @@ "13-40", "13-42", "13-45", - "13-47" + "13-47", + "13-50" ] } \ No newline at end of file