sw_lam_text_ulb/03/64.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 64 Walipize, Yahweh, kwa kadiri ya waliyo fanya. \v 65 Hutaacha mioyo yao bila lawama! Hukumu yako iwe juu yao! \v 66 Una wakimbiza kwa hasira na kuwaharibu chini ya mbingu, Yahweh!