sw_lam_text_ulb/05/17.txt

1 line
176 B
Plaintext

\v 17 Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia \v 18 maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.