sw_lam_text_ulb/05/13.txt

1 line
182 B
Plaintext

\v 13 Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni. \v 14 Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.