sw_lam_text_ulb/03/62.txt

1 line
170 B
Plaintext

\v 62 Midomo ya hao wanao inuka kinyume changu, na mashtaka yao, inakuja dhidi yangu siku nzima. \v 63 Ngalia jinsi wanavyo keti na kuinuka; wana nidhihaki na nyimbo zao.