sw_lam_text_ulb/03/58.txt

1 line
237 B
Plaintext

\v 58 Bwana, ulitetea kesi yangu, uliokoa maisha yangu! \v 59 Yahweh, umeona mabaya waliyo ni fanyia, hukumu kesi yangu. \v 60 Umeona matusi yao, mipango yao yote dhidi yangu - \v 61 Umesikia dhihaka yao, Yahweh, na mipango yao kunihusu.