sw_lam_text_ulb/03/34.txt

1 line
169 B
Plaintext

\v 34 Kukanyaga chini ya mguu wafungwa wote wa dunia, \v 35 kumnyima haki mtu mbele ya uwepo wa Aliye Juu, \v 36 mkunyima haki mtu - Bwana hataidhinisha vitu kama hivyo!