sw_lam_text_ulb/04/19.txt

1 line
282 B
Plaintext

\v 19 Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani. \v 20 Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, "Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa."