sw_lam_text_ulb/02/10.txt

1 line
158 B
Plaintext

\v 10 Wazee wa binti wa Sayuni wameketi chini na ukimya. Wamerusha vumbi kichwani mwao na kuvaa magunia. Mabikra wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao chini.