sw_lam_text_ulb/01/20.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 20 Tazama, Yahweh, kwa kuwa nipo kwenye ugumu; tumbo langu lina nguruma, moyo wangu umetibuka ndani yangu, kwa kuwa nimekuwa muasi sana. Nnje, upanga umemaliza na, ndani ya nyumba kuna mauti tu.