sw_lam_text_ulb/01/11.txt

1 line
360 B
Plaintext

\v 11 Watu wote wana sononeka wanapo tafuta mkate. Wametoa hazina zao za thamani kwa ajili ya chakula cha kurejesha uhai wao. Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi, kwa kuwa nimekuwa sina faida. \v 12 Sio kitu kwako, wote mnao pita? Angalia na uone kama kuna mtu mwenye huzuni kama huzuni ninao teswa nao, tangu Yahweh amenitesa mimi katika siku ya hasira yake kali.