sw_jud_text_reg/01/03.txt

1 line
438 B
Plaintext

kwenu.\v 3 Wapendwa wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waaminio. \v 4 Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu Yesu