sw_jud_text_reg/01/22.txt

1 line
188 B
Plaintext

\v 22 Onyesheni rehema kwa wale walio na shaka. \v 23 Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.