sw_jos_text_reg/10/12.txt

1 line
247 B
Plaintext

\v 12 Kisha Yoshua akamwambia Yahweh katika siku ambayo Yahweh aliwapa watu wa Israeli ushindi dhidi ya Waamori. Hiki ndicho Yoshua alichosema kwa Yahweh mbele ya Israeli. " Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijaloni."