\v 12 Kisha Yoshua akamwambia Yahweh katika siku ambayo Yahweh aliwapa watu wa Israeli ushindi dhidi ya Waamori. Hiki ndicho Yoshua alichosema kwa Yahweh mbele ya Israeli. " Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijaloni."