sw_jos_text_reg/09/01.txt

1 line
296 B
Plaintext

\v 1 Kisha wafalme wote walioishi ng'ambo ya mto Yordani katika nchi ya milima, na katika nchi za chini katika pwani za Bahari Kuu mbele ya Lebanoni - Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi - \v 2 hawa waliungana pamoja chini ya amri moja kuinua vita dhidi ya Yoshua na Israeli.